Yanga kimyakimya, yavuta kifaa kinginge
Kiungo huyo anaungana na Yanga iliyo kwenye maandalizi ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo ipo kambini hivi sasa.
Usajili huo umekamilika ikiwa ni siku kadhaa zimepita baada ya kuwaongezea mikataba wachezaji wake, kipa Beno Kakolanya na beki wa kulia Juma Abdul pamoja na kumrejesha aliyekuwa kiungo wake, Deus Kaseke kutoka Singida united.
Yanga inaendelea kujifua kuelekea mchezo dhidi ya Gor Mahia utakaokuwa wa mkondo wa kwanza huko jijini Nairobi Kenya.
DOWLOAD APP YA SUPERNIDA BLOG KWENYE SIMU YAKO ILI KUPATA HABARI ZETU ZOTE KWA HARAKA NA RAHISI ZAIDI, BONYEZA HAPA
No comments
Post a Comment