Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Blandina Nyoni na kuivunja bodi hiyo. Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye.
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Blandina Nyoni na kuivunja bodi hiyo. Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye.
No comments
Post a Comment