Followers

Ndoa Ya Alikiba Yazidi Kunukia, Tazama Picha Za Mpenzi Wake

Mwanamuziki wa Bongo fleva Ali Kiba anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na na Habari za chini ya kapeti zinadai ndoa ni wiki hii hii.

Kwa miezi hii miwili mitatu Kumekuwa na fununu nyingi za Ali Kiba kufunga ndoa ingawa mwenyewe hajawahi hata kumuweka wazi mpenzi wake lakini Kiba picha zimeonekana Kwenye mitandao ya kijamii na inadaiwa huyo ndio bibi harusi.

Habari iliyopo mitandaoni inasemekana kuwa harusi ya Ali Kiba na mrembo huyo inategemea kufungiwa wiki hii ambapo itakuwa ni tarehe 14 na tarehe 15 Mombasa Kenya.

Hizi ni baadhi tu ya picha zinazosemakana ndiye bibi harusi mtarajiwa:

No comments

Theme images by sandoclr. Powered by Blogger.