Followers

Mawandaz: Nukuu za Afya Ni Muhimu mno soma ujionee

Tafadhali soma na uwapelekee wengine


Dr. Brian Berry wa Marekani amegundua kensa mpya kwa binadamu inayosababishwa na Silver Nitro Oxide. Unaponunua kadi ya simu usiichune kwa kucha kwani imo hiyo Silver Nitro Oxide na inaweza kusababisha kensa ya ngozi. Watumie ujumbe huu wale uwapendao.

*Nukuu muhimu za afya
*👉sikiliza simu kwa sikio la kushoto.
*👉usimeze dawa na maji baridi*
*👉usile chakula kizito baada ya saa kumi na moja jioni.*
*👉kunywa maji mengi asubuhi na kidogo usiku.*
*👉wakati mzuri wa kulala ni kuanzia saa nne hadi kumi usiku.*
*👉usilale mara baada ya kula dawa au chakula.*
*👉ikiwa charge imebakia kijino cha mwisho usipokee* *simu kwani mionzi inakuwa na nguvu kwa mara 1000 zaidi.*
*👉unaweza kuwatumia haya wale unaowajali?*
*Mie nimeshafanya.*
*Huruma haigharimu kitu lakini elimu ni nuru.*
*🚫🚫🚫 MUHIMU 🚫🚫🚫*
*Jumuiya ya uchunguzi ya marekani imetoa majibu mapya. Usinywe chai kwenye vikombe vya plastic. Na usile Chochote kwenye mifuko ya plastic. Plastic ikikutana na joto inatoa vitu vinavyo sababisha aina 52 za kensa. Kwa hiyo ujumbe huu ni bora kuliko mijumbe 100 isiyo na maana. Tafadhali wapelekee unaowajali. Nimefanya sehemu yangu kwa wale ninao wajali🌺.*

No comments

Theme images by sandoclr. Powered by Blogger.